8 Julai 2025 - 01:06
Wazayuni sasa waanza kukata tamaa na wengine kujiua, kwao vita ni ngumu Ghaza na Hamasa bado iko hai na imara kuliko hata jana

kumbukwe kuwa Kuna askari wa Marekani pia aliwahi kujiua mwenyewe huko huko Marekani mbele ya ubalozi wa Israel mjini Washington DC.

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Askari wa Israel waanza kujitoa mhanga wenyewe kwa kujiua  baada ya kusongwa na mawazo ya vita virefu vya Gaza.

Wazayuni sasa waanza kukata tamaa na wengine kujiua, kwao vita ni ngumu Ghaza na Hamasa bado iko hai na imara kuliko hata jana

Ikumbukwe kuwa kuna askari wa Marekani pia aliwahi kujiua mwenyewe huko huko Marekani mbele ya ubalozi wa Israel mjini Washington DC akipinga vita vya Israel.

Waisrael wanakabiliwa na hali mbaya kila kona dhidi ya uwepo wao wa uvamizi katika Ardhi za Wapalestina. Na hapa Shaka kuwa uzayuni huu ulioivamia Palestina Miaka mingi utafika kikomo chake na Utawala huo utang'olewa na Wazayuni hao kurudi huko walikotokea.

Wazayuni sasa waanza kukata tamaa na wengine kujiua, kwao vita ni ngumu Ghaza na Hamasa bado iko hai na imara kuliko hata jana

Wakati huo Dunia itakuwa Salama na ya Amani na kuondokana na saratani ya Kizayuni katika Miwili wa Mashariki ya Kati.

Tags

Your Comment

You are replying to: .
captcha